Karibu katika Kituo cha Urithi wa Ukombozi wa Afrika!
Gundua mkusanyiko wetu mpana wa historia ya harakati za ukombozi kupitia Maktaba, Jumba la Makumbusho, na Kumbukumbu za Nyaraka zetu.
Ada za Kiingilio:
-
Raia wa Tanzania walio chini ya miaka 18: Shilingi 1,000
-
Raia wa Tanzania wenye umri wa miaka 18 na zaidi: Shilingi 2,500
-
Wageni kutoka nje ya Tanzania walio chini ya miaka 18: Shilingi 7,500
-
Wageni kutoka nje ya Tanzania wenye umri wa miaka 18 na zaidi: Shilingi 12,500
Saa za Kufungua:
Urithi wa Ukombozi: Fahari ya Afrika