Kuhifadhi na Kutangaza Kituo cha Urithi wa Ukombozi wa Afrika

Kuhifadhi na Kutangaza Kituo cha Urithi wa Ukombozi wa Afrika

Vipaumbele katika Kulinda, Kuhifadhi na Kutangaza Kituo cha Urithi wa Ukombozi wa Afrika

  1. Uhifadhi Endelevu wa Urithi; Kuhifadhi nyaraka, vielelezo, kumbukumbu na maeneo ya kihistoria kwa kuzingatia viwango vya kitaalamu vya uhifadhi wa urithi.
  2. Uwekaji wa Kumbukumbu Kidijitali; Kufanya uhakiki, uwekaji wa kumbukumbu na ujanibishaji wa taarifa kwa matumizi ya utafiti na kizazi kijacho.
  3. Utafiti na Uzalishaji wa Maarifa; Kuendeleza tafiti kuhusu historia ya ukombozi wa Afrika na kuchapisha matokeo yake ili kuongeza uelewa wa jamii.
  4. Elimu na Uhamasishaji wa Umma; Kukuza uelewa wa wananchi, hususan vijana, kupitia maonesho, programu za elimu na shughuli za urithi.
  5. Ushirikiano wa Kikanda na Kimataifa; Kuimarisha ushirikiano na nchi za Afrika, taasisi za urithi na wadau wa maendeleo katika kuhifadhi na kutangaza urithi wa ukombozi.
  6. Utangazaji na Utalii wa Urithi; Kutumia majukwaa ya kidijitali na vyombo vya habari kutangaza Kituo kama kitovu cha historia, elimu na utalii wa urithi wa Afrika.
lbl_need_any_help