Hilo ni eneo ambalo wapigania uhuru wa ANC na ZAPU walilitumia kwa mafunzo ya kijeshi.
Eneo hili la mafunzo lipo takribani kilomita nne (4) Kaskazini mwa gereza la Kingolwira katika
Kijiji cha Fulwe
Kata ya Mkambarani
Tarafa ya Mkambarani
Wilaya ya Morogoro Vijijini