Nyumba Na. 18 | Morogoro

Nyumba Na. 18 | Morogoro

Tanzania
Nyumba Na. 18 | Morogoro

Nyumba hiyo ilikuwa ofisi kuu ya ANC Mkoani Morogoro iliyokuwa na kazi ya kufanya mahusiano ya wanachama na kusimamia ujenzi wa makambi ya Mazimbu na Dakawa.

Ofisi ilikuwa:-

Mtaa wa Korogwe

Serikali ya Mtaa wa Kingo

Kata ya Kingo

Tarafa ya Morogoro Mjini

Manispaa ya Morogoro

Nyumba Na. 25/M

Nyumba hiyo ni moja ya nyumba ambazo wapigania uhuru walikodisha kwa ajili ya kuishi viongozi wao kama Oliver Tambo.

Nyumba ipo:-

Mtaa wa Korogwe

Serikali ya Mtaa wa Kingo

Kata ya Kingo

Tarafa ya Morogoro Mjini

Manispaa ya Morogoro

lbl_need_any_help