Ofisi ya SDU-Special Duty Unit | Iringa

Ofisi ya SDU-Special Duty Unit | Iringa

Tanzania
Ofisi ya SDU-Special Duty Unit | Iringa
Hali ilivyokuwa

Ofisi Maalum ya JWTZ iliyosimamia mafunzo ya kijeshi na kuratibu mambo ya utawala kwa wapigania uhuru ilikuwepo nyuma ya ofisi ya Mkuu wa Wilaya Iringa mjini.

Ipo katika:-

Mtaa wa Bomani

Kata ya Gangilonga

Tarafa ya Iringa Mjini

Manispaa ya Iringa Mjini

Hali ilivyo sasa

Baada ya shughuli za Kikosi Maalum kukoma ofisi ilikabidhiwa kwa Mshauri wa Mgambo na Ustawi wa Jamii.

Kuna maeneo matatu katika Mkoa wa Pwani yaliyohusika na shughuli za wapigania uhuru. Maeneo hayo ni Kidogozero, Kaole na Pongwe Msungura.

lbl_need_any_help