The Ladha Meghji Indian public Library (Kiwanja na...

The Ladha Meghji Indian public Library (Kiwanja na. 9 kitalu K.) | Mkoani MWANZA

Tanzania
The Ladha Meghji Indian public Library (Kiwanja na. 9 kitalu K.) | Mkoani MWANZA
The Ladha Meghji Indian Public Library” ni jengo lililojengwa mwaka 1933 mjini Mwanza wakati wa ukoloni wa Mwingereza kuwa maktaba ya watu wenye asili ya Kiasia.

Wakati wa harakati za ukombozi wa nchi za Afrika, viongozi wa Kiafrika akiwemo hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na hayati Tom Mboya wa Kenya walipendekeza kufanyika mkutano wa pamoja wa shrikisho lililoundwa kuhamasisha nchi za Afrika Mashariki, Kati na Kusini kudai uhuru lililoitwa Pan African Freedom Movement for East and Central Africa (PAFMECA) Mkutano ulifanyika katika maktaba hii mwezi Mei 1958.

Mahali jengo lilipo

Karibu na Mwanza Hotel

Mtaa wa Posta

Kata ya Nyamagana

Tarafa ya Nyamagana

Wilaya ya Nyamagana

lbl_need_any_help